MATIATI - ZERRO SUFURI Mp3, Video, Mp4, Audio Download and Lyrics

Download the new hit from Zerro Sufuri - MATIATI in mp3 or mp4 format here at thespitted.




Video

Lyrics

Kwani niaje bado hujaskia ati ati

Tingisha hizo mara matia tia ti

Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati

Tingisha hizo mara matia tia ti

Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Si napenda vile muda unayoyoma

Si ni kama gode vile inakuchoma

Si ni kama mbuku rada nishasoma
Bado huto tutoto tupoa poa bado natuona

Eeeh mahali niko huwezi uliza swali mtu

Hapa kila mtu ako na kutu

Shika wako mi nishike wangu mutu eeeh
Acha kipusa basi mi nikubusu

Ati kam tuzitoke, tudance adi shoke

Na usiogope, mdogo tuziondoke

Mkate msake, nipate njote
Nai hadi coste, mi washa ni note

Nakuwanga fete, twende twendete

Shaka machete, jibambe usitete

Si, leo ni siku yako mami
Kam tukawatoke tukakule kingwai
Na bado ukinijenga sitabaki ati ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati

Tingisha hizo mara matia tia ti

Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati

Tingisha hizo mara matia tia ti

Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Ati ati ati ati ati

Tingisha hizo mara matia tia ti

Rombosha ka uko nazo matia tia tia..
Matia tia tia..

Tingisha hizo mara matia tia ti

Rombosha ka uko nazo matia tia tia..

Matia tia tia..
Cheki, mambo Lucy napenda hako ka pussy

Kakue ka brown sanasana tu keusi

Kako na tunywele tusoft ka tausi
Ni karefu sana mi hukapimaga na uzi na 

Venye kuna joto si ukatoe ndani ya kamisi

Najua kanasikia njaa, hakajabonya toka juzi

Mi ndio nawezana, hao wengine jo ni upuzi
Eeeh, hao wengine cheki

Ati ni ngware ngware mdogo mdogo nikipiga bag

Kamsupa kakakam kakadai kahug

Kakadai nimpige maji mpaka ijae kwa jug
Mdogo mdogo tukicheki movie ya Snoopie Dog

Cheki, kwani niaje bado hujaskia ati ati

Tingisha hizo mara matia tia ti

Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati

Tingisha hizo mara matia tia ti

Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Si napenda vile muda unayoyoma

Si ni kama gode vile inakuchoma

Si ni kama mbuku rada nishasoma
Bado tutoto tupoa poa bado natuona

Eeeh mahali niko huwezi uliza swali mtu

Hapa kila mtu ako na kutu


Newer Posts Newer Posts Older Posts Older Posts

More posts

Comments

Post a Comment