My Boo Remix - Harmonize X Q Chilla | Download | Song | Lyrics

Download this epic hit My Boo Remix by Harmonize featuring Q Chilla in mp3 or mp4 format here at thespitted for free. Get the lyrics here too! 




[Download Mp3 ##download##]

Lyrics


Aah tunaanza upya sasa
Just beginning
Chilli, Konde Boy
Yaani Chilla na Konde Boy
Aaah, 
Mola anakupa astahili
Hakupi unachotaka 
Ndio maana nimetulia
Nakukabidhi mtima
Naridhi kifungu mbili
Kukosa nakupata
We unanivumilia
Ata nikiwa sina
Ninajua wapo
Walosema we hunifai
Eti hatuendani 
Wanajichosha na kujipa taabu
Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai 
Tena hadharani wakapotosha 
Umedu na mwarabu
Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki
Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki msijipe taabu
My boo, my boo, my boo 
Oooh lala lalala  my boo 
My boo, my boo, my boo
Oooh lala lala my boo  
Hawapendi kuniona na wewe 
Eti nimekaa nimechill na wewe
Wanatamani nikuwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa
(Eeh hahaha, Love is sweet oh)
Ah! Nyie mafundi wa kuchamba
Mnafanya kazi ya kanisa
Ridhiki haivutwi kwa kamba
Na wa kumi hapatangi tisa
Mwenzenu fundi wa kulamba
Tena anameza kabisa
Sio kama najigamba
Ila mbali ninamfikisha eeh
Ndio maana
Ananiganda ganda kama pochi
Ananiganda
Nampanda panda kama kochi 
Nampanda
Ninajua wapo
Walosema we hunifai
Eti hatuendani
Wanajichosha na kujipa taabu
Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai 
Tena hadharani wakapotosha 
Umedu na mwarabu
Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki
Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki msijipe taabu
My boo, my boo, my boo
Oooh lalalalala my boo 
My boo, my boo, my boo
Oooh lalalalala my boo 
Hawapendi kuniona na wewe 
Eti nimekaa nimechill na wewe
Wanatamani nikuwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa
Zuzuzu, zunguka waone
Zuzuzu, zunguka waone
Yii, asa zungusha body
Zuzuzu, zunguka waone
Kwani unadaiwa kodi? 
Zuzuzu, zunguka waone
Oooh lele, Konde Boy
Ndio maana
Ananiganda ganda kama pochi
Ananiganda
Nampanda panda kama kochi 
Nampanda

Ooh my God its Spencer
Newer Posts Newer Posts Older Posts Older Posts

More posts

Comments

Post a Comment